Powered By Blogger

Thursday, December 10, 2009

HABARI

Mambo wasomaji wa blog napenda kuwataarifu wasomaji wato kwamba nitakuwa natoa nafasi kwa yule mwenye mada au kitu chochote ambacho tunnaweza kukijadili pamoja na kupeana ushauri kuhusu maisha namambo mbali mbali yanayoendelea duniani kote na yasiwe ya kumtusi mtu wala kudhihaki serikali yetu zaidi ya kukosoa nakaribisha oni la kila mmoja atakayevutiwa na blog yangu na napenda kuwaalika wadau wa blog kuniunga mkono pia Ahsanteni na karibuni Frozy Adinani