Powered By Blogger

Tuesday, January 12, 2010

unene unatesa wengi eehe hebu cheki huyu bonge alivokua akitaka kupunguza kilo kwa nguvu minadhani unatakiwa ujikubali mwenyewe kwanza na ukitaka kupungua kama mwili hautaki kupungua hautopungua pia ujukubali kwamba wewe ni bora kamwe hautaona kero kamwe na jinsi ulivyo.

No comments: