Powered By Blogger

Tuesday, January 12, 2010

Jamani nilishangaa kuona ajari ya treni ilikua mbaya sana na watu wengine walikua wamejeruhiwa kidogo na wengine walipoteza maisha yao papo hapo kwakweli inasikitisha sana sijawahi kuona toka nijue treni hebu ona jamani

No comments: